Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (700 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENTS 3 ZINAUZWA โ TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM ๐น๐ฟ
๐ฐ Bei: Milioni 250
๐ Ukubwa: SQM 700
Fursa adhimu ya uwekezaji! Apartments hizi tayari zimepangishwa na zinaingiza kipato kila mwezi.
โ
Hati Miliki ipo
โ
Ziko ndani ya fence
โ
Kila nyumba inajitegemea
โ
Parking ya kutosha
โ
Maji na umeme vipo
โ
Mazingira mazuri na salama
๐ Apartments 2
โข Kila moja ina vyumba 3 vya kulala
โข Chumba 1 ni Master
โข Sebule
โข Jiko
โข Choo cha Public
๐ Apartment 1
โข Ina vyumba 2 vya kulala
โข Sebule
โข Jiko
โข Choo
๐ Zipo Tabata Kimanga, katika eneo linalokua kwa kasi na lenye mahitaji makubwa ya nyumba za kupanga.
๐ต Tayari zinaingiza kipato kila mwezi kupitia wapangaji waliopo.
๐ Muhitaji piga: +255688412890
๐ต Service Charge/Gharama ya Huduma: 30,000/=
๐ฅ Wahi Sasa Offer Kabambe!
DALALI WAKISHUA
Miliki Kesho Yako Leo!!!















