Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (700 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
š” APARTMENTS 3 ZINAUZWA ā TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM š¹šæ
š° Bei: Milioni 250
š Ukubwa: SQM 700
Fursa adhimu ya uwekezaji! Apartments hizi tayari zimepangishwa na zinaingiza kipato kila mwezi.
ā
Hati Miliki ipo
ā
Ziko ndani ya fence
ā
Kila nyumba inajitegemea
ā
Parking ya kutosha
ā
Maji na umeme vipo
ā
Mazingira mazuri na salama
š Apartments 2
⢠Kila moja ina vyumba 3 vya kulala
⢠Chumba 1 ni Master
⢠Sebule
⢠Jiko
⢠Choo cha Public
š Apartment 1
⢠Ina vyumba 2 vya kulala
⢠Sebule
⢠Jiko
⢠Choo
š Zipo Tabata Kimanga, katika eneo linalokua kwa kasi na lenye mahitaji makubwa ya nyumba za kupanga.
šµ Tayari zinaingiza kipato kila mwezi kupitia wapangaji waliopo.
š Muhitaji piga 06595O7709
šµ Service 20,000















