Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (700 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
#Repost dalali_viwanja_nyumba_dar_
āā
š” APARTMENTS 3 ZINAUZWA ā TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM š¹šæ
š° Bei: Milioni 250
š Ukubwa: SQM 700
Fursa adhimu ya uwekezaji! Apartments hizi tayari zimepangishwa na zinaingiza kipato kila mwezi.
ā
Hati Miliki ipo
ā
Ziko ndani ya fence
ā
Kila nyumba inajitegemea
ā
Parking ya kutosha
ā
Maji na umeme vipo
ā
Mazingira mazuri na salama
š Apartments 2
⢠Kila moja ina vyumba 3 vya kulala
⢠Chumba 1 ni Master
⢠Sebule
⢠Jiko
⢠Choo cha Public
š Apartment 1
⢠Ina vyumba 2 vya kulala
⢠Sebule
⢠Jiko
⢠Choo
š Zipo Tabata Kimanga, katika eneo linalokua kwa kasi na lenye mahitaji makubwa ya nyumba za kupanga.
šµ Tayari zinaingiza kipato kila mwezi kupitia wapangaji waliopo.
š Muhitaji piga: +255653233641 au +255768682919
šµ Service Charge/Gharama ya Huduma: 50,000/=
š„ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Miliki Kesho Yako Leo!!!















